Kurasa

Thursday, March 29, 2012

UKIMWITA JEMBE HAUJAKOSEA SANA.


Eddo Bashir
.Presenter mwenye uwezo wa kutumia kipaji chake kiusahihi na kuweza kukonga watu wengi zaidi katika vipindi vyake. Kiukweli anaujuzi na achana na hilo anauwezo mkubwa wa kuteka  hisia za wasikilizaji wake.Huyu ni Mojawapo wa presenter ambao kiukweli leo napenda kuchapisha kua anauwezo wa kipekee kwa kiasi kikubwa sana.

MWIMBAJI WETU

Belle 9
Huyu ni msanii mojawapo ambaye kiukweli yupo vizuri kwa kazi zake za kimziki, wewe kama mdau au mpenzi wa kazi zake mwezeshe aweze kushinda katika kategori ya mwimbaji bora wa kiume na katika wimbo bora wa mwaka na wimbo wake wa Nilipe nisepe. nenda kapige kura at www. teentz.com Kili Music Award Voting Page.
Mwezeshe Belle 9 kwa kumpigia kura yako.

GAZETI LA LEO ALHAMISI


Tuesday, March 27, 2012

T.I AMPA MWANAE ZAWADI YA GARI


  Zonniques
 Hi ni Gari ambalo kapewa zawaidi motto wa Kike wa T.I katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika siku chache zilizopita, na katika sherehe hizo mototo huyo wa T.I alionekana kumkubali sana mototo wa  P. Didy ambaye nae aliweza kuhudhuria katika sherehe hiyo, ambapo ni pamoja na wasani kibao na familia zao waliweza kuhudhulia. Motto huyu wa T.I amsherekea sherehe hii ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 16. Hii ni kutoka kwenye chanzo chetu cha habari.

Nyerere Speeches and Statements


Hii ni nyumba ya Makumbusho ya Mwalimu J.K Nyerere


Wajibu wa Mfanyakazi

Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano via Tanzania Mwalimu Julius K. Nyerere kwenye Mkutano wa Kwanza wa NUTA, Dar es Salaam, Julai 34, 1965.
Ndugu Mwenyekiti, Ndugu Wajumbe, na Waheshimiwa wageni wetu,

Leo ni aiku kubwa sana, na mkutano huu una kazi kubwa ya kufanya, Mkutano huu lazima ufikirie jinsi gani chama hiki cha NUTA kilivyochukua madaraka yake mapya kwa watenda kazi wa nchi hii, na jinsi gani watenda kazi nao, kwa kutumia NUTA, ivalivyotimiza wajibu wao kwa taifa letu.

Mkutano huu lazima ufikirie vile vile kazi za baadaye, na kuwafafanulia viongozi wa NUTA, wa TANU na wa Serikali mambo yaliyo muhimu kwa wana-chama wa NUTA. Na jambo lililo muhimu zaidi kwa mkutano huu ni mambo gani wanaehama wenyewe wa NUTA wako tayari kuya-timiza, kwa ajili ya kuendeleza uchumi na hali ya Tanzania kwa sababu ya wajibu huo mkubwa, ni haki kwamba mkutano huu umepata heshima ya kuhudhuriwa na wageni kutoka nchi nyingi.

VIRUSI AMBAVYO VATISHA ZAIDI YA VIRUSI VYA UKIMWI

miongoi mwa wagonjwa walio athiliwa na virusi hivyo.

NYEUSI

WEUSI



    Vichwa vya kundi la Weusi ambao ni Joe Makini, 
      Nikki wa pili, G Nako na Lord Eyes.
                

Chadema wapamba Moto

Ndivyo ilivyo katika jimbo la Arumeru Mashariki, Chadema wazidi kuteka wananchi katika jimbo hilo.
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki.

Monday, March 26, 2012

simba wafanya Vizuri

                                                 Simba wafanya vizuri katika anga za kimichezo,
                                                             tuwakilisheni vyema na ugenini.

Alikiba na JD

                                                    Video mpya ya Alikiba in production process

Sunday, March 25, 2012

Sigfred Kimasa  -  11 Mac 2012  - 
 -  Hadhara

Mbowe na Nassari walifika kwenye Uwanja wa Leganga wakiwa kwenye helikopta saa 8.45 na kulakiwa na viongozi walioongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe pamoja na wabunge kadhaa wa chama hicho.
Polisi pamoja na walinzi wa kikundi cha usalama cha Chadema, Red Brigade walipata wakati mgumu kuwadhibiti wafuasi waliokuwa wakitaka kusalimiana na viongozi hao walipowasili uwanjani hapo.
Hali hiyo pia iliwaathiri wapigapicha wa vyombo vya habari ambao walikwaruzana na polisi na walinzi

Saturday, March 24, 2012

Vijana na ujasiriamali.

            Ni vyema sasa vijana kujitambua na kujihamasisha baina yetu na kujikita zaidi katika kuanzisha miladi mbalimbali ambayo itachangia kuinua vipato vyetu. japo kua ni vigumu sana kutambua ni nini twapasa kukifanya ambacho chaaweza kutusaidia kuweza kupata kipato kilicho sahihi. Ila jambo la msingi siku zote kwa vijana wenzangu tujenge moyo wa kujituma daima, hii naamini kabisa siku moja maisha kila kijana atafaidi matunda yake. JITUME ULE mwenzangu kijana.