Kurasa

Sunday, March 25, 2012

Sigfred Kimasa  -  11 Mac 2012  - 
 -  Hadhara

Mbowe na Nassari walifika kwenye Uwanja wa Leganga wakiwa kwenye helikopta saa 8.45 na kulakiwa na viongozi walioongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe pamoja na wabunge kadhaa wa chama hicho.
Polisi pamoja na walinzi wa kikundi cha usalama cha Chadema, Red Brigade walipata wakati mgumu kuwadhibiti wafuasi waliokuwa wakitaka kusalimiana na viongozi hao walipowasili uwanjani hapo.
Hali hiyo pia iliwaathiri wapigapicha wa vyombo vya habari ambao walikwaruzana na polisi na walinzi

No comments: