Kurasa

Monday, November 5, 2012

Kwa mara ya kwanza Somalia wapata waziri mwanamke.


 Fauzia Haji ni miongoni mwa wanasiasa walioteuliwa katika baraza dogo la mawaziri ambapo ameonekana ni mwanamke wa kwanza kuteuliwa kushika nafasi hiyo ya uwaziri,ambapo ameteuliwa uwa waziri wa mambo ya nje. pia Bi Fauzia Yusufu Haji Adam yeye ni naibu waziri mkuu wa somalia.
Takribani miaka 42  Uchaguzi wa Rais Mohamud mwezi Sepetemba umeonekana uchaguzi pekee uliofanyika Kidemokrasia nchini somalia

No comments:

Post a Comment