Fauzia Haji ni miongoni mwa wanasiasa walioteuliwa katika baraza dogo la mawaziri ambapo ameonekana ni mwanamke wa kwanza kuteuliwa kushika nafasi hiyo ya uwaziri,ambapo ameteuliwa uwa waziri wa mambo ya nje. pia Bi Fauzia Yusufu Haji Adam yeye ni naibu waziri mkuu wa somalia.
Takribani miaka 42 Uchaguzi wa Rais Mohamud mwezi Sepetemba umeonekana uchaguzi pekee uliofanyika Kidemokrasia nchini somalia
No comments:
Post a Comment