![]() |
Taarifa kutoka kwa Roberto Di Matteo ni kwamba mchezaji wake striker Daniel Sturridge aliyekua
majeruhi tokea mwezi September 19 ambapo aliumia walipokua wakicheza na Juventus ataonekana tena
Uwanjani baada ya mechi nne zijazo hii ni kutokana na hali yake kuendelea vizuri
No comments:
Post a Comment