Kurasa

Friday, October 5, 2012

Kwa wapenzi wa Chelsea wanahusika zaidi



Taarifa kutoka kwa Roberto Di Matteo ni kwamba mchezaji wake striker  Daniel Sturridge aliyekua 
 majeruhi tokea mwezi September 19 ambapo aliumia walipokua wakicheza na Juventus  ataonekana tena 
 Uwanjani baada ya mechi nne zijazo hii ni kutokana na hali yake kuendelea vizuri

No comments:

Post a Comment