Kurasa

Monday, April 9, 2012

Ki ukweli katutoka Steven Kanumba.

Ni ngumu kuamini ni kama kalala, kama ataamuka , lakini hatinaye tenda kipenzi wetu kwa rika zote. wototo walizoea kumwita Uncle JJ kila ukipita mitaana lakini kiukweli uwepo wake umetoweka hatunaye tena dunia. Japo kila mwenye uhai lazima aonje mauti unaweza kujiuliza kwanini iwe hivi katika umri mdogo kiasi hiki kijana mwenzetu kututoka kakini hatuna la kupinga lililo pangwa na Mungu ni vigumu mwanadamu kulipangua.
Mr. Kanumba
Katutoka ndugu yetu kipenzi Mr Kanumba tulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi jina la Bwana lihimidiwe Amen.

Kutoka mwananchi " Mama mzazi wa marehemu Stevin Kanumba, Flora Mutegoa amekubali mwanae azikwe kesho tarehe 10 / 4/ 2012 kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kuanzia majira ya saa10 jioni."

No comments:

Post a Comment