Kurasa

Wednesday, April 11, 2012

Mr. Kanumba
Nyimbo iliyoimbwa na Marehemu Kanumba inaitwa "NITAINUA MACHO YANGU JUU"....Moja ya mistari kwenye hii nyimbo ni ""Kama leo nikifa kila mtu atanisifu kwa lake ******* ,ata hao wanaonichukia watabeba jeneza langu kwa nyimbo na sala za uzuni,Mwenzangu leo niko hai twachukiana sana , usoni wa cheka rohoni ni vita,Tusameane tuishi kwa upendo na amani,Furaha yetu hadi mbinguni tuwe na furaha ya… 'sema na moyo wangu eee baba'

No comments:

Post a Comment